Dizasta Vina – Achia jala feat. Kaa la moto

    Lyrics
    Oya
    Mwela alikuja nikampiga sound mbumba mbaya
    Siwezi lala down town naitunza kaya
    Niko around ninavunja taya
    Michongo kibao town wana hawakuvuta waya
    Achia jala
    Ni heri kuyashinda majaribu
    Ila kufeli ni kushindwa kujaribu
    Baba alifeli siwezi feli pia
    Namiliki jina la ukoo sio sheli dia
    Siwezi lala njaa itanigaraza
    Kwahiyo usiniletee risala achia jala kwanza
    Sina kazi nimedandia ndala
    Alafu unanikazia fala
    Bro achia Jala
    Hauna shida ndo’ maana unapendeza
    Alafu unaniambia hauna fedha
    Sikupi kichaka sikupi hata stata  utakimbia, 
    Achia jala ntakupiga mitama utajifia
    Sikupenda kuwa vikundi vya wahuni, 
    Nilikuwa madini ambayo hauyakuti vitabuni, 
    Nilikuwa mtu kabla enzi zangu
    Haya maisha yangu ni kitabu na hii ni peji chafu, 
    So achia jala
    Dingi mwenyewe alitoboka
    Madeni kama dhambi milele nakokota 
    Na alipodondoka nikarithi shida
    Ndio maana Kuelewa mtu lazima uelewe alipotoka
    So, Achia jala
    Sichezi kamali na washua
    Nitakupiga kabali nitakuua, sikuachii hata ukisali
    Matumaini yako mbali 
    Nami nipo katikati ya bahari Na mashua 
    Hauwezi kuwa mtoto ukishazaa
    Nina mtoto sasa, sitaki kuuza ndoto ka bidhaa
    Mwanzo nilikuwa na ndoto na iling’aa
    Lakini bahati mbaya mtoto hawezi kula ndoto ikija njaa
    Nilipenda kuwa rubani
    Ila mambo ni makubwa ukubwani
    Nikaishia kuwa mkulima fani niliyofunzwa nyumbani
    Kabla shamba halijakumbwa tufani
    So achia jala
    Nimekufata tangu Benki najua kuwa una cash
    Uliingia ukiwa empty ukatoka na mabegi
    Una-act kama Ndezi
    Unaniletea undezi nitakuletea ushenzi wewe
    Nilichora plan na sikupiga mchele
    Wenzangu wa mtaani ni’shazika tele
    Najua unahesabu time si ujaribu kurun sijui
    Nimeshika gun nitakuchezea shere
    Achia jala, 
    Siwezi kudanganya kuhusu
    Haya Madusko hatuwezi kugawana nusu
    Usihubiri sisadiki maadili
    Maisha yenyewe mafupi na hatuishi mara mbili
    Achia jala
    Mbunge halijui jina langu
    Ramani ya jiji haisanifu  njia zangu
    Hawajivunii ndugu zangu, Miungu haisikii sauti yangu 
    Niko peke yangu mimi na gun yangu
    Nitaku pah pah 
    Kisha unione mamluki 
    Nitakuchezesha mabuzuki
    Nishafungwa mara tatu nimetoa roho nne
    Utakuwa wa tano, so jaribu kutoka nduki nikuonyeshe 
    Nipo kazini so achia jala 
    Nitakutia ngwara ufe
    Mafanikio ni kwa wale majasiri
    Walio tayari kusubiri ni makupe
    Nisikize brother
    Ni’shafanya mamziki
    Sikuvutia kukusanya mashabiki
    Naogopa kuwa begi nishazika marafiki 
    Nilishalala na maiti nishajiuza kwa shangingi
    Nishafunga mahirizi, nishakula mamizizi
    Nishafuga Jinamizi mamisuba nikasizi
    Nishakuzwa na waizi waliokuzwa na machizi waso….
    Mama ananiona failure for life
    Na ninamisi kumbatio la wife
    Mkwe ananiona bwege, napeleka nuksi malangoni pake
    Shemeji ananiona sio type 
    So achia jala, nitakubia roho nipe jala
    Usinizoee usinipe gwara
    Unahisi sina maadili ninafata mkumbo bwege
    huwezi kuwa consious ukiwa tumbo empty
    Achia jala
    Sijarithi mali ili nizichunge kama zako
    jala ziko mbali nizifuge Kama zako 
    Wajomba masadali sio wabunge kama wako
    Sijaenda shule yako… 
    I’ll fucking shoot you, Achia jala
    Nimeshindwa leo sio kwamba nilisinzia jana
    Sijakwambia kwamba alisinzia baba
    Hakujua mkwanja ni maua mazuri yanafifia ghafla 
    Achia jala
    Hey, so sad hunijui boy, am not of your Calibre
    Usituone tu tajiri, wengi tuna suck blood ki-Cannibal.
    Msimamo kitaliban, na roho ya kijahidina.
    Kama mbwai mbwai ndio utajua mi kikosi kama Pina.
    But I won’t choose that hata ka’ niko street smart.
    nna-pure fact nahisi we ni mgonjwa unahitaji meds. 
    Mental disturbed maybe afya ya akili.
    Na uko so bitter it’s not healthy unapoteza asili.
    Hata mi nilihaso man same thing na Bakhresa.
    Niliogopa pressure sikutafuta demu ilikua p…….

    Leave a Reply

    Back To Top